MAIGIZO YA KISWAHILI
Jumapili, 28 Januari 2018
Jumamosi, 20 Januari 2018
USHAIRI WA KISWAHILI
Ushairi
Ushairi ni utungo wa kisanaa unaotumia lugha teule na mpangilio fulani wa maneno badala ya kutumia lugha natharia(mflulizo). Ushairi unaweza kuwa kipera cha fasihi simulizi (nyimbo) na pia katika fasihi andishi kwa sababu mashairi yanaweza kuwasilishwa kwa njia ya kukariri na pia kwa njia ya maandishi. Mashairi yanayoghanwa badala ya kuimbwa huitwa maghani. UchambuziKatika ushairi, tutaangalia:
Istilahi za KishairiHaya ni baadhi ya maneno ambayo hautakosa kukutana nayo unapozingatia ushairi. Ni muhimu mwanafunzi kuyajua vizuri.
|
Ijumaa, 19 Januari 2018
MAIGIZO YA KISWAHILI
Maigizo
MAIGIZO
Utanzu wa Fasihi Simulizi
Vipera vya Maigizo
Michezo ya Kuigiza
Miviga
Ngomezi
Malumbano ya Utani
Ulumbi
Soga
Vichekesho
Maonyesho ya Sanaa
Prev Nyimbo
Next Tungo Fupi
Maigizo ni sanaa katika fasihi simulizi ambayo watendaji huwa ndio wahusika.
Maigizo hayasimuliwi kama mbinu nyingine za fasihi. Wahusika ndio huzungumza katika sehemu zao mbalimbali.
Mifano:
Michezo ya Kuigiza (Jukwaani) - Haya ni maigizo ya jukwaani ambapo watendaji huiga maneno na matendo ya wahusika mbele ya hadhira.
Miviga - Miviga ni sherehe mbalimbali katika jamii fulani. Watu hujumukika na sherehe hizi kulingana na tamaduni zao
Ngomezi - ni sanaa ya ngoma. Midundo mbalimbali ya ngoma hutumika kuwasilisha ujumbe mbalimbali.
Malumbano ya Utani - Malumbano ya utani ni mashindano ya kuongea jukwaani baina ya watu wa makundi au jamii mbili ambayo hutumia kejeli na chuku kukejeli tabia mbaya katika jamii au kundi fulani
Ulumbi - Ulumbi ni uwezo wa kipekee wa kuzungumza mbele ya hadhira. Mtu mwenye uwezo huo wa kipekee wa kuzungumza jukwaani huitwa mlumbi.
Soga - Soga ni mazungumzo baina ya watu wawili au zaidi ambayo aghalabu huwa hayana mada maalum.
Vichekesho - Vichekesho ni aina ya sanaa ya fasihi simulizi ambayo watu hutoa vihadithi vifupi au sentensi zenye uwezo wa kuwafanya wasikilizaji wacheke.
Maonyesho ya Sanaa - Maonyesho huhusisha watu wa jamii au kundi fulani wanaoonyesha taaluma, ujuzi au sanaa yao kwa watazamaji.
Comments
Login to Comment
16 comments. Hide Reported Comments
Muzammil Sayani • Aug 12, 2017
Je, Sifa Za Maigizo ni nini?
Reply Like 0 likes
Victor • Jun 21, 2015
Soga ni mazungumzo ya kupitisha wakati na lugha utumiwayo si rasmi ilhali ulumbi ni uhodhari wa kuzungumza kwa ufasaha na madoido
Reply Like 0 likes
james nganga • Jun 09, 2015
matumizi ya methali maigizo nyimbo na vitendawili katika kusuruhisha migogoro
Reply Like 0 likes
lovejoy victoria • May 17, 2015
Je,ni nini tofauti kati ya ulumbi na soga.
Reply Like 0 likes
edmard murimi • Nov 05, 2017
rejelea apo awali
Reply Like 0 likes
Ngige Benson • Mar 18, 2015
Swali: strawberry kwa kiswahili ni nini?
Reply Like 0 likes
Jared Ekirapa • Jul 10, 2014
1.Je,nzige au panzi ana macho mangapi? 2.Neno 'particle' ni nini katika lugha ya kiswahili? 3.Ni nani huangua vifaranga vya kuku?
Reply Like 0 likes
Jared Ekirapa • Jul 10, 2014
Jibu swali hili na ueleze kama ni fumbo au chemsha bongo; Nilitaka kununua sukari ambayo ilikuwa shilingi 97 na sikuwa nazo. Ilinibidi kukopa pesa kwa mama yangu shilingi 50 na pia nikakopa baba yangu shilingi 50 ili nikanunue sukari.
Kwa hivyo nilikuwa na deni la mama shilingi 50 na baba pia shilingi 50.Nilinunua sukari na nikarudishiwa shilingi 3 kutoka kwa duka.Kwa hizo pesa shilingi 3,nilimpa mama shilingi 1 na baba pia shilingi 1 ili nikapunguze madeni niliyokuwa nayo na nikabaki na shilingi moja.Kumbuka kuwa deni la mama ni 49 na baba pia ni 49 na 49+49=98,98 ukiongeza shilingi 1 niliyokuwa nayo ni 99 yaani 98+1=99.Je,shilingi 1 ilienda wapi ili iwe 100? Ukishindwa kulijibu au ukitaka kunijibu wasilisha kwa; jaredekirepa@yahoo.com,pia iwapo unahitaji mafumbo au chemshabongo zaidi utapata bila wasiwasi.
Reply Like 0 likes
DUNCAN IRUNGU. • Mar 05, 2014
Unyago ni tendo la kuwapasha wasichana tohara.
Reply Like 0 likes
Issack malela • Jul 26, 2013
Unyago ni nini?
Reply Like 0 likes
Silah Rokito Chelimo • May 09, 2013
Mtunzi wa nyi
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)